sw_tn/gal/04/26.md

273 B

Huru

Hapa huru inamaanisha hali ya kutofungwa, kutokuwa mtumwa.

Furahi

Changamka, shangilia, kuwa na furaha.

uliye tasa, wewe usiye zaa...... wewe ambaye huna uzoefu wa kuzaa.

Neno hili 'wewe' kwa hapa linamrejelea mwanamke tasa na liko katika hali ya umoja.