sw_tn/gal/04/03.md

557 B

Maelezo ya jumla

neno 'sisi' linarejelea Wakristo wote, na wasomaji wa nyaraka wa Paulo

Kanuni za kwanza za ulimwengu

Maana zinazokubalika ni 1) inarejelea sheria na kanuni za kimaadili za ulimwengu 2) inarejelea nguvu za kiroho, ambazo baadhi ya watu wanadhani zinatawala kile kinachotokea duniani.

kukomboa

Paulo anatumia sitiari ya Mtu aliyenunua tena mali zake alizozipoteza au kumnunulia uhuru mtumwa. hii ni picha ya Yesu aliyelipa deni la dhambi za watu kwa kufa pale msalabani.

Mwana

Hili ni jina muhimu sana la Yesu, Mwana wa Mungu.