sw_tn/gal/04/03.md

16 lines
557 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# Maelezo ya jumla
neno 'sisi' linarejelea Wakristo wote, na wasomaji wa nyaraka wa Paulo
# Kanuni za kwanza za ulimwengu
Maana zinazokubalika ni 1) inarejelea sheria na kanuni za kimaadili za ulimwengu 2) inarejelea nguvu za kiroho, ambazo baadhi ya watu wanadhani zinatawala kile kinachotokea duniani.
# kukomboa
Paulo anatumia sitiari ya Mtu aliyenunua tena mali zake alizozipoteza au kumnunulia uhuru mtumwa. hii ni picha ya Yesu aliyelipa deni la dhambi za watu kwa kufa pale msalabani.
# Mwana
Hili ni jina muhimu sana la Yesu, Mwana wa Mungu.