forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
557 B
Markdown
16 lines
557 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
neno 'sisi' linarejelea Wakristo wote, na wasomaji wa nyaraka wa Paulo
|
||
|
|
||
|
# Kanuni za kwanza za ulimwengu
|
||
|
|
||
|
Maana zinazokubalika ni 1) inarejelea sheria na kanuni za kimaadili za ulimwengu 2) inarejelea nguvu za kiroho, ambazo baadhi ya watu wanadhani zinatawala kile kinachotokea duniani.
|
||
|
|
||
|
# kukomboa
|
||
|
|
||
|
Paulo anatumia sitiari ya Mtu aliyenunua tena mali zake alizozipoteza au kumnunulia uhuru mtumwa. hii ni picha ya Yesu aliyelipa deni la dhambi za watu kwa kufa pale msalabani.
|
||
|
|
||
|
# Mwana
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina muhimu sana la Yesu, Mwana wa Mungu.
|