sw_tn/gal/02/20.md

534 B

Mwana wa Mungu

Hili ni jina la muhimu la Yesu

Siikani neema

Paulo anatumia neno hasi katika kutilia mkazo wa ukweli chanya. "ninahakikisha uthamani wa..."

kama haki ingeweza kupatikana kwa.... basi Kristo asingekufa

Paulo anaelezea hali ambayo haipo, haitatokea. "lakini kama haki haipo....basi Kristo hakufa"

kama haki ilikuwepo kupitia sheria, basi Kristo angelikuwa amekufa bure

"kama mtu angeweza kuwa mwenye haki kwa kushika sheria"

angelikuwa amekufa bure

"Kristo angekuwa hajafanya chochote kwa kufa kwake"