sw_tn/gal/02/09.md

389 B

Kujenga kanisa

Ni watu waliwaofundisha watu kuhusu Yesu na kuwashawishi wamwamini Yesu.

Neema niliyopewa mimi

"kwamba Mungu amekuwa mwema kwangu"

kutupokea....mkono wa kulia wa ushirika

"Waliwakaribisha...kama watendakazi wenzao" au "waliwakaribisha...kwa heshima"

Mkono wa kulia

"Mikono yao ya kuume"

Kuwakumbuka masikini

"kushughulikia au kujali mahitaji ya masikini"