sw_tn/gal/02/09.md

20 lines
389 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# Kujenga kanisa
Ni watu waliwaofundisha watu kuhusu Yesu na kuwashawishi wamwamini Yesu.
# Neema niliyopewa mimi
"kwamba Mungu amekuwa mwema kwangu"
# kutupokea....mkono wa kulia wa ushirika
"Waliwakaribisha...kama watendakazi wenzao" au "waliwakaribisha...kwa heshima"
# Mkono wa kulia
"Mikono yao ya kuume"
# Kuwakumbuka masikini
"kushughulikia au kujali mahitaji ya masikini"