sw_tn/gal/01/21.md

344 B

Mikoa ya

"Sehemu ya ulimwengu inayoitwa..."

Walikuwa wakisikia tu

"Bali walikuwa wakijua tu kile wachokisikia kwa wengine kunihusu mimi"

Sikuwa najulikana kwa macho kwa makanisa ya Uyahudi yale yaliyokuwa katika Kristo,

"Hakuna mtu yeyote ambaye alishawahi kukutana nami miongoni mwa makanisa ya Uyahudi yaliyokuwa katika Kristo."