forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
857 B
Markdown
20 lines
857 B
Markdown
# neema kutoka kwa Yahwe Mungu wetu imekuja
|
|
|
|
Mungu ameamua kuonyesha rehema imesemwa kwetu ikiwa neema angekuwa mtu ambaye anaweza kutembea. AT:"Yahwe Mungu wetu ameamua kuwa mwenyerehema kwetu na"
|
|
|
|
# ameendeleza agano kwa uaminifu kwa ajili yetu
|
|
|
|
Agano la uaminifu limesemwa kana kwamba ni kitu ambacho mtu anaweza kukishirikilia mkononi mwake na kukigawa kwa mtu mwingine kukichukua. AT:"alitoa ili iwe uaminifu kwetu sisi na kutunza Agano lake"
|
|
|
|
# mbele ya macho kwa mfalme wa Uajemi
|
|
|
|
Kiualisia mfalme asingeweza kuona hekalu, lakini alijua kuhusu kilichokuwa kinatokea katika Yerusalem. Hapa "macho" ni msemo kwa kile ambacho mtu anafahamu. AT:"Hivyo mfalme wa Uajemi alijua kuhusu hilo"
|
|
|
|
# Nyumba ya Mungu
|
|
|
|
hekalu
|
|
|
|
# atatupatia sisi msingi salama
|
|
|
|
Msingi ambao utawaweka watu salama ni fumbo kwa Yahwe atawalinda watu wake. AT:"atatulinda sisi salama"
|