forked from WA-Catalog/sw_tn
653 B
653 B
mwezi wa pili
Huu ni mwezi wa pili kwa kalenda ya Kiebrania. Hiki ni kipindi cha kiangazi wakati watu wanavuna mazao. Ni kipindi cha mwisho mwezi wa nne na sehemu ya kwanza kwa mwezi wa tano kwa kalenda ya magharibi.
mwaka wa pili
Hii ilikuwa ni kipindi cha mwaka ambacho baadae walirudi
kwa nyumba ya Mungu
Unapaswa kufanya uchunguzi kwamba kulikuwa hakuna nyumba ya mungu iliyokuwepo wakati wanafika.AT:"ni wapi nyumba ya Mungu ilisimamishwa" au "ni wapi walipotaka kujenga nyumba ya Mungu"
Yeshua...Yosadaki...Henadadi
Haya ni majina ya wanaume
miaka ishirini
"20 miaka"
Kadmiel
Hili ni jina la mtu. Tafsiri kama katika 2:40