forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
620 B
Markdown
20 lines
620 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla:
|
|
|
|
Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa nyumba ya Israeli kuhusu uzao wa Zadoki ambaye hutumika kama makuhani.
|
|
|
|
# malimbuko
|
|
|
|
Hapa "malimbuko" huenda inamaanisha kwamba vitu bora miongoni mwa sadaka zote zilizowekwa karibu kumtolea Mungu.
|
|
|
|
# na kila kitu kitokanacho na sadaka
|
|
|
|
"na kila zawadi ya kitu chochote kutoka zawadi zako zote"
|
|
|
|
# ili kwamba baraka iweze kukaa katika nyumba zenu
|
|
|
|
Hili neno linamaanisha "hivyo nitabariki familia yako na kila kitu ambacho ni mali yako."
|
|
|
|
# au mnyama aliyeraruliwa, iwe ni ndege au mnyama
|
|
|
|
"au kiumbe ambaye ni ndege au mnyama wa porini amerarua."
|