forked from WA-Catalog/sw_tn
499 B
499 B
ua wa ndani
Tazama tafsiri yake katika 8:16.
vyumba vya ndani
Tazama tafsiri yake katika 40:5.
varanda
Tazama tafsiri yake katika 8:18.
dhiraa
Tazama tafsiri yake katika 40:5.
dhiraa hamsini
kama mita 27.
dhiraa ishirini na tano
dhiraa tano -kama mita 13.5
dhiraa tano
kama mita 2.7
Hii varanda ilielekea ua wa nje
"varanda ilikuwa mbele ya ua wa nje." Watu wangeweza kwenda ndani na nje yake kutoka kwenye ua.
pamoja na mitende
"na ilikuwa na mapango ya mitende"