forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
446 B
Markdown
20 lines
446 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla:
|
|
|
|
Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kuhusu Gogu.
|
|
|
|
# Nitauweka utukufu wangu kati ya mataifa
|
|
|
|
"nitayafanya mataifa kuona utukufu wangu"
|
|
|
|
# hukumu yangu ninayoionyesha na mkono wangu nimeuweka juu yao
|
|
|
|
Maneno haya yote yanarejea kwa hukumu ambayo Yahwe ataadhibu juu ya Israeli.
|
|
|
|
# mkono wangu
|
|
|
|
Hapa neno "mkono" inarejea uweza wa Yahwe ambao huutumia kuleta hukumu.
|
|
|
|
# juu yao
|
|
|
|
"juu ya watu wa jeshi kubwa la Gogu"
|