forked from WA-Catalog/sw_tn
765 B
765 B
Maelezo ya Juma:
Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa viongozi wa Israeli
sehemu za malisho yao
"mahali ambapo wanaweza kula"
malisho mazuri
nchi zenye majana mengi na mimia
malisho
kula majani na mimea mingine
mimi mwenyewe
Neno "mimi mwenyewe" linaongeza msisitizo. Mungu atafanya hivi kwa sababu wachungaji hawakuwa wanafanya sahihi.
watalisha
"watalisha na kuwaangalia"
watawafanya kulala chini
"watawaacha walale chini"
hili ni tangazo la Bwana Yahwe
Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:11.
waliopotea
"wale waliopotea." "kondoo yeyote au mbuzi aliyepotea"
rudisha waliopotea
"kuwarudisha wale waliokuwa wamefukuzwa mbali"
funga kondoo aliyevunjika
"zungusha nguo kwa kondoo yeyote aliyevunjika mfupa"