forked from WA-Catalog/sw_tn
44 lines
765 B
Markdown
44 lines
765 B
Markdown
|
# Maelezo ya Juma:
|
||
|
|
||
|
Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa viongozi wa Israeli
|
||
|
|
||
|
# sehemu za malisho yao
|
||
|
|
||
|
"mahali ambapo wanaweza kula"
|
||
|
|
||
|
# malisho mazuri
|
||
|
|
||
|
nchi zenye majana mengi na mimia
|
||
|
|
||
|
# malisho
|
||
|
|
||
|
kula majani na mimea mingine
|
||
|
|
||
|
# mimi mwenyewe
|
||
|
|
||
|
Neno "mimi mwenyewe" linaongeza msisitizo. Mungu atafanya hivi kwa sababu wachungaji hawakuwa wanafanya sahihi.
|
||
|
|
||
|
# watalisha
|
||
|
|
||
|
"watalisha na kuwaangalia"
|
||
|
|
||
|
# watawafanya kulala chini
|
||
|
|
||
|
"watawaacha walale chini"
|
||
|
|
||
|
# hili ni tangazo la Bwana Yahwe
|
||
|
|
||
|
Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:11.
|
||
|
|
||
|
# waliopotea
|
||
|
|
||
|
"wale waliopotea." "kondoo yeyote au mbuzi aliyepotea"
|
||
|
|
||
|
# rudisha waliopotea
|
||
|
|
||
|
"kuwarudisha wale waliokuwa wamefukuzwa mbali"
|
||
|
|
||
|
# funga kondoo aliyevunjika
|
||
|
|
||
|
"zungusha nguo kwa kondoo yeyote aliyevunjika mfupa"
|