forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
887 B
Markdown
40 lines
887 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla:
|
|
|
|
Yahwe anaendela kumptaia ezekieli ujumbe wake kwa viongozi wa Israeli.
|
|
|
|
# Tazama!
|
|
|
|
Neno "Tazama" hapa linatahadharisha wachungaji kuwa makini kwa habari ifutayo ya kushangaza.
|
|
|
|
# nitawatafuta
|
|
|
|
"nitawatafuta"
|
|
|
|
# ndani ya kundi lake lililotawanyika.
|
|
|
|
"pamoja na kundi lake"
|
|
|
|
# waliotawanyika
|
|
|
|
Kundi halipo sehemu moja. Kondoo na mbuzi wapo katika sehemu tofauti tofauti walipopotea na katika hatari.
|
|
|
|
# katika siku ya mawingu na giza
|
|
|
|
"katika siku ya wingu na siku ya giza." Hii inarejea wakati majanga mengi yatakapo tokea. "wakati majanga mabaya yatakapowatokea."
|
|
|
|
# warudishe
|
|
|
|
"rudisha kondoo na mbuzi wangu"
|
|
|
|
# kutoka miongoni mwa watu
|
|
|
|
"kutoka mahali ambapo walipoishi pamoja na watu wengine"
|
|
|
|
# malisho
|
|
|
|
nchi ambayo ina majani na mimea midogo ambayo kondoo na mbuzi wanaweza kula
|
|
|
|
# makazi
|
|
|
|
sehemu ambapo watu huishi. Siku zote wanaishi katika nyumba za makazi.
|