forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
842 B
Markdown
32 lines
842 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla:
|
|
|
|
Yahwe anaendelea kunena na Ezekieli kuhusu watu waliokuwa wakiishi katika uharibifu wa Israeli.
|
|
|
|
# Mmekula damu
|
|
|
|
Inaonekana kwamba wanakula damu kwa kula nyama ambayo bado inadamu ndani yake. "Manakula nyama yenye damu ndani yake."
|
|
|
|
# mmeziinulia macho yenu sanamu
|
|
|
|
"mnazitegemea sanamu zenu." Hii inamaanisha kwamba "mnaziabudu sana zenu"
|
|
|
|
# mnazimwagia damu za watu
|
|
|
|
"mnamwaga damu." Hii inamaanisha "mnawaua watu."
|
|
|
|
# Je! mna uhakika wa kuimiliki hii nchi?
|
|
|
|
Yahwe anatumia hili swali kuwaonya watu. "Hamtakiwi kumiliki hii nchi" au "Hamstahili hii nchi."
|
|
|
|
# Mnategemea upanga wenu
|
|
|
|
"Mmetumia upanga wenu kupata kile mnachokitegemea."
|
|
|
|
# mmetenda mambo maovu
|
|
|
|
"tenda mambo ambayo ninayoyachukia sana"
|
|
|
|
# kila mwanamume amemnajisi mke wa jirani yake
|
|
|
|
Inamaanisha kwamba wamewanajisi wake za majirani zao kwa kulala nao.
|