forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
343 B
Markdown
16 lines
343 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla:
|
|
|
|
Yahwe anaendelea kunena na Farao na kumlinganisha na dubwana liishilo ndani ya maji.
|
|
|
|
# funza wako waliokufa
|
|
|
|
"mwili wako uliokufa"
|
|
|
|
# Kisha nitamwaga damu yako juu ya milima
|
|
|
|
"nitaifurika nchi damu kwa damu moja kwa moja hata kwenye milima."
|
|
|
|
# vitanda vya kijito vitajazwa kwa damu yako
|
|
|
|
"nitaijaza mito kwa damu yako"
|