forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
700 B
Markdown
36 lines
700 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla:
|
|
|
|
Ezekieli anaeleza kuhusu ujumbe ambao Yahwe alio mpatia.
|
|
|
|
# Neno la Yahwe likja
|
|
|
|
"Yahwe akanena neno lake."
|
|
|
|
# Mwanadamu
|
|
|
|
Tazama tafsiri yake katika sura ya 2:1.
|
|
|
|
# Maombolezo
|
|
|
|
"Lia kwa huzuni" Hii amri ni kwa Misri na mataifa yanayoizunguka Misri.
|
|
|
|
# Ole inakuja siku hiyo
|
|
|
|
"Hiyo siku itakuwa chungu sana" au "Mambo mabaya yatatokea siku hiyo"
|
|
|
|
# Siku i karibu
|
|
|
|
Inaonyesha "hiyo siku" ilikuwa mda wakati watu wataomboleza.
|
|
|
|
# Siku ikaribu kwa ajili ya Yahwe. Itakuwa
|
|
|
|
Hii inaonyesha kwamba siku hiyo, Yahwe atawaadhibu watu.
|
|
|
|
# siku ya mawingu
|
|
|
|
"Itakuwa kama siku yenye giza la mawingu"
|
|
|
|
# mda wa hukumu kwa ajili ya mataifa
|
|
|
|
"mda wakati mambo mabaya yatakapotokea kwa mataifa"
|