forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
681 B
Markdown
24 lines
681 B
Markdown
# tazama!
|
|
|
|
"Ona!" au "sikia!"
|
|
|
|
# ntafungua miinuko ya Moabu, kuanzia kwenye miji yake juu ya mpaka
|
|
|
|
"nitaifungua njia ya kwenda Moabu kwa kuiangamiza miji juu ya mpaka wake."
|
|
|
|
# uzuri wa Beth Yeshimothi, Baal Meoni, na Kiriathaimu
|
|
|
|
"nitaanza na miji mikubwa ya Beth Yeshimothi, Baali Meoni, na Kiriathaimu."
|
|
|
|
# kwa watu wa mashariki waliokuwa juu ya watu wa Amoni
|
|
|
|
"nitatuma jeshi lile lile kutoka mataifa katika mashariki aliyeiteka Amoni."
|
|
|
|
# Nitawapatia kama milki ili kwamba watu wa Amoni hawatakumbukwa miongoni mwa mataifa
|
|
|
|
"nitayafanya majeshi kuishinda Amoni ili kwamba pasiwe na mtu hata wa kuwakumbuka."
|
|
|
|
# watajua yakwamba mimi ni Yahwe
|
|
|
|
Tazama tafsiri yake katika 6:6.
|