sw_tn/ezk/23/30.md

275 B

umetenda kama kahaba, tamaa za mataifa

Oholiba anatenda kama kahaba pamoja na mataifa kwa sababu wanaume aliolala nao ni alama ya utajiri na nguvu ya haya mataifa.

nitakiweka kikombe chake

Neno "kikombe" linajea kwa hukumu ya Oholiba. Inawakilisha kitu alichokipokea.