forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
585 B
Markdown
28 lines
585 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla:
|
|
|
|
Yahwe anamwambia Ezekieli hadithi kuhusu mabinti wawili katika Misri kuelezea jinsi alivyoona tabia ya watu wa Israeli.
|
|
|
|
# Neno la Yahwe likaja
|
|
|
|
"Yahwe akanena neno lake."
|
|
|
|
# maziwa yao yalikuwa yamebanwa
|
|
|
|
"Wanaume waliyabana maziwa yao."
|
|
|
|
# ubikira wa chuchu zao zilipapaswa huko
|
|
|
|
Kimsingi haya maneno yanamaanisha kitu kimoja kama neno lililopita na kusisitiza tabia mbaya ya wasichana wawili.
|
|
|
|
# papaswa
|
|
|
|
kushikwa pole pole
|
|
|
|
# Ohola
|
|
|
|
Hili ni jina la kike linalomaanisha "hema yake."
|
|
|
|
# Oholiba
|
|
|
|
Hili ni jina la kike linalomaanisha "hima yake yu katikati yake."
|