forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
384 B
Markdown
20 lines
384 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla:
|
|
|
|
Yahwe anampatia Ezekieli ujumbe wake kwa mtwala wa Israeli.
|
|
|
|
# siku ya nani inakuja
|
|
|
|
Hili neno linamaanisha "sasa Yahwe atamwadhibu nani."
|
|
|
|
# mda wa nani wa kufanya dhambi umekoma
|
|
|
|
"mda wakati Yahwe akomeshapo uovu"
|
|
|
|
# kilemba
|
|
|
|
kipande cha nguo kizuri ambacho mfalme huvaa kwenye vichwa vyao kama ishara ya mamlaka yao
|
|
|
|
# tukuza unyenyekevu
|
|
|
|
"na tukuza ya chini"
|