sw_tn/ezk/21/25.md

384 B

Maelezo ya Jumla:

Yahwe anampatia Ezekieli ujumbe wake kwa mtwala wa Israeli.

siku ya nani inakuja

Hili neno linamaanisha "sasa Yahwe atamwadhibu nani."

mda wa nani wa kufanya dhambi umekoma

"mda wakati Yahwe akomeshapo uovu"

kilemba

kipande cha nguo kizuri ambacho mfalme huvaa kwenye vichwa vyao kama ishara ya mamlaka yao

tukuza unyenyekevu

"na tukuza ya chini"