|
# neno la Yahwe likaja
|
|
|
|
"Yahwe ananena neno lake."
|
|
|
|
# Utachongwa na kung'aa
|
|
|
|
"Li kali na lililosuguliwa." Hili neno linaonyesha kwamba upanga u tayari kwa ajili ya mtu kuutumia.
|
|
|
|
# kung'aa
|
|
|
|
Mtuu kuufanya upanga laini, unaong'aa, na safi kwa kuusugua kwa kwa kifaa kinacho kwaruza
|