neno la Yahwe likaja
"Yahwe ananena neno lake."
Utachongwa na kung'aa
"Li kali na lililosuguliwa." Hili neno linaonyesha kwamba upanga u tayari kwa ajili ya mtu kuutumia.
kung'aa
Mtuu kuufanya upanga laini, unaong'aa, na safi kwa kuusugua kwa kwa kifaa kinacho kwaruza