sw_tn/ezk/18/18.md

242 B

Taarifa za Ujumla:

Yehova anazungumza juu ya baba wa mwana ambaye hajaitii sheria ya Mungu.

kupora

kuchukua kitu cha mtu mwingine kwa kutumia vitisho au mabavu.

tazama

Neno "tazama" hapa linaongeza msisitizo kwa jambo linalofuata.