forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
242 B
Markdown
12 lines
242 B
Markdown
|
# Taarifa za Ujumla:
|
||
|
|
||
|
Yehova anazungumza juu ya baba wa mwana ambaye hajaitii sheria ya Mungu.
|
||
|
|
||
|
# kupora
|
||
|
|
||
|
kuchukua kitu cha mtu mwingine kwa kutumia vitisho au mabavu.
|
||
|
|
||
|
# tazama
|
||
|
|
||
|
Neno "tazama" hapa linaongeza msisitizo kwa jambo linalofuata.
|