sw_tn/ezk/18/18.md

12 lines
242 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Taarifa za Ujumla:
Yehova anazungumza juu ya baba wa mwana ambaye hajaitii sheria ya Mungu.
# kupora
kuchukua kitu cha mtu mwingine kwa kutumia vitisho au mabavu.
# tazama
Neno "tazama" hapa linaongeza msisitizo kwa jambo linalofuata.