Taarifa za Ujumla:
Yehova anazungumzia juu ya miti kana kwamba ni miji.
Kisha miti yote katika shamba itafahamu kuwa mimi ndimi Yehova.
Vitu kuvikwa uhusika kama binadamu.
Miti mirefu...Miti mifupi
Lugha ya picha/fumbo
Kupukutika
wakati ambapo mmea hunyauka na kufa.