forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
529 B
Markdown
24 lines
529 B
Markdown
# nyumba ya Israeli
|
|
|
|
Tazama tafsiri yake katika 3:1.
|
|
|
|
# kupinga katika vita
|
|
|
|
"kujilinda"
|
|
|
|
# Je hamkuwa na maono ya uongo ... Wakati mimi mwenyewe sikuongea?
|
|
|
|
Yahwe anatumia hili swali kuwakemea manabii wa uongo.
|
|
|
|
# mlikuwa maono ya uongo na kufanya utabiri wa uongo
|
|
|
|
Tangu manabii wa uongo wakose kupokea ujumbe wa kweli kutoka kwa Yahwe, kile wanacho tabiri kuhusu baadaye sio kweli.
|
|
|
|
# Hivi na hivi
|
|
|
|
Hili ni nenao lililotumika kurejea kwa kitu chochote nabii ameweza kusema.
|
|
|
|
# Agizo la Yahwe
|
|
|
|
Tazama tafsiri yake katika 5:11.
|