sw_tn/ezk/12/21.md

361 B

neno la Yahwe likanija

"Yahwe ananena neno lake."

Siku zimerefushwa, na kila ono linaanguka

Huu ulikuwa usemi wa watu wa Israeli ambao hakuamini kwamba Mungu angewahukumu.

Siku zinakaribia

Hili neno linarejea kwa siku ambazo Israeli itahukumiwa.

kila ono litatimizwa

Haya maono Mungu anayoyatoa kwa manabii yatakuwa kweli. "kila unabii utatokea"