forked from WA-Catalog/sw_tn
361 B
361 B
neno la Yahwe likanija
"Yahwe ananena neno lake."
Siku zimerefushwa, na kila ono linaanguka
Huu ulikuwa usemi wa watu wa Israeli ambao hakuamini kwamba Mungu angewahukumu.
Siku zinakaribia
Hili neno linarejea kwa siku ambazo Israeli itahukumiwa.
kila ono litatimizwa
Haya maono Mungu anayoyatoa kwa manabii yatakuwa kweli. "kila unabii utatokea"