sw_tn/ezk/09/01.md

683 B

Maelezo ya Jumla:

Ezekieli anaendelea kueleza kuhusu maono aliyopewa na Mungu.

akalia katika masikio yangu

"nilimsikia akiniita kwa sauti"

walinzi

watu ambao hulinda kitu.

silaha ya uharibifu

silaha kwa ajili ya kuharibu watu auvitu

silaha ya kuchinja

silaha kwa ajili ya kuchinja watu wengi

tazama!

Neno "tazama" hapa linaongeza msisitizo kwa kinachofuata.

nguo ya kitani

imara, nguo laini iliyo tengenezwa kutokana na mmea. ilivaliwa na watu sehemu ambazo ni moto.

kifaa cha uandishi

vifaa ambavyo waandishi hutumua kuandikia

shaba

chuma kilichopakwa rangi ya dhahabu nyeusi. Imetengezwa na shaba nyekundu sana pamoja kuongezwa chuma kwa uimara.