forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
626 B
Markdown
24 lines
626 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla:
|
|
|
|
Haya ni maneno ya Yahwe kuhusu Israeli.
|
|
|
|
# Wamepiga tarumbeta
|
|
|
|
"Wamepiga tarumbeta kuwaita watu kupigana juu ya adui.
|
|
|
|
# Upanga uko nje
|
|
|
|
Upaga unawakilisha mapambano au vita. "Kuna mapigano nje."
|
|
|
|
# pigo la njaa lipo ndani ya jengo
|
|
|
|
Kimsing jungo hurejea kwenye mji
|
|
|
|
# wakati njaa na tauni zitakapowala wale waliopo kwenye mji
|
|
|
|
Hapa neno "kula" linamaanisha "haribu kabisa." "na watu wengi katika mji watakufa kutokana na njaa na ugonjwa."
|
|
|
|
# Kama hua wa mabondeni, wote watalia
|
|
|
|
Hua hufanya kambi chini kunusa hiyo milio kama mlio mtu afanyayo wakati akiwa katika maumivu ya kawaida au maumivu ya ndani.
|