forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
783 B
Markdown
28 lines
783 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla:
|
|
|
|
Haya ni maneno ya Yahwe kuhusu Israeli.
|
|
|
|
# Wakati unakuja; siku imekaribia
|
|
|
|
Yote "mda" na "siku" zinarejelea kwenye muda wakati Mungu atakapo waadhibu watu wa Israeli. "adhabu ya Israeli itakuwa hivi punde sana"
|
|
|
|
# maono yako juu yako kikundi kizima
|
|
|
|
"kile Mungu alichoonyesha kitatokea kwenye kundi"
|
|
|
|
# kundi
|
|
|
|
kundi la watu wengi sana. Hapa inarelea kwa watu wa Israeli.
|
|
|
|
# kadiri wanapoendelea kuishi
|
|
|
|
Neno "wao" linarejelea kwa watu wa Israeli wauzao vitu.
|
|
|
|
# Hatarudi
|
|
|
|
"hawatarudi Israeli."
|
|
|
|
# hakuna mtu anayeishi kwenye dhambi atakayejitia uwezo
|
|
|
|
Neno "uwezo" linamrejea msaada wa Mungu anamsaidia mtu kuendelea kwenda wakati mambo ni magumu kupitia tumaini, faraja na nguvu ya mwili. "hakuna aliye hai anayeendelea kumuasi Mungu atakayesaidiwa na Mungu."
|