forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
447 B
Markdown
28 lines
447 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla:
|
|
|
|
Hii inaanza na utabiri wa hukumu ya Yahwe juu ya Israeli.
|
|
|
|
# Neno la Yahwe likanijia
|
|
|
|
"Yahwe akanena nami."
|
|
|
|
# Wewe, mwana wa adamu
|
|
|
|
"Mwana wa adamu, nataka uwe makini kwa kile ninachoenda kukwambia"
|
|
|
|
# Bwana Yahwe
|
|
|
|
Hili jina la Mungu wa kweli alilojifunua katika taifa la Israeli.
|
|
|
|
# kwa nchi ya Israeli
|
|
|
|
"kwa watu wa Israeli".
|
|
|
|
# Mwisho!
|
|
|
|
"Mwisho umefika!"
|
|
|
|
# mipaka minne ya nchi
|
|
|
|
Hii inarejelea kwa nchi nzima ya Israeli.
|