forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
592 B
Markdown
20 lines
592 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla:
|
|
|
|
Yahwe anaendelea kunena na watu wa Israeli na Yuda.
|
|
|
|
# katika hasira na ghadhabu
|
|
|
|
Neno "hasira" na "ghadhabu" kimsingi yana maana moja na kusisitiza mkazo wa hasira. "kwa sababu nitakuwa na hasira nanyi mno."
|
|
|
|
# mishale mikali
|
|
|
|
"mkazo wa njaa"
|
|
|
|
# vunja gongo lenu la mkate
|
|
|
|
"Gongo" kilikuwa kitu ambacho watu waliegama juu ya kuwasaidia. Hili neno ni mfano maana yake "kuondoa kusambaza chakula ambacho ukitegemeach." "katilia chakula chenu" (UDB)
|
|
|
|
# Pigo na damu vitapita juu yenu
|
|
|
|
"Pigo na kifo kikali sana kitapita juu yenu." Hiki kifo kikali kitasababishwa na vita.
|