sw_tn/ezk/05/11.md

40 lines
930 B
Markdown

# Maelezo ya Jumla:
Yahwe anaendelea kunena na watu wa Israeli na Yuda.
# ishi-huu ndio usemi wa Bwana Yahwe-hii
Yahwe anajinenea yeye mwenyewe kana kwamba kulikuwa na mtu mwingine, au Ezekieli anawakumbusha wasomaji wake kwamba anamnukuu Yahwe.
# kama niishivyo
"kama niishivyo hakika." au "kama kweli iko hivyo ni hai, ni hakika pia kwamba"
# Bwana Yahwe
jina la Mungu
# najisi ... patakatifu
haribu mahali ambapo Yahwe alipokuwa ameweka karibu kuwa kwa matumizi yake pekee
# kwa mambo ya yanayoumiza
"kwa mambo yote yako yanayoumiza." "kwa sanamu zako zote, nizichukiazo" au "kwa sanamu zako zote za kuchukiza" (UDB)
# na kwa matendo yako maovu
"na kwa mambo yenu yote ya machkizo mliyoyafanya"
# jicho langu halitakuwa na huruma juu yako
Neno "jicho" ni mfano wa Yahwe. "sitakuwa na huruma juu yako"
# sitokuharibu
"nitakuadhibu hakika"
# wataliwa kwa njaa kati yako
"wengi wao watakufa kwa sababu ya njaa"