# Maelezo ya Jumla
Mungu anaendelea kuongea na Musa.
# Nawe utavitia hivi
Hapa "hivi" lina husu sehemu za dhabihu vilivyo tajwa katika mistari ya awali.
# ni sadaka iliyotengenezwa kwangu kwa njia ya moto
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.