sw_tn/exo/29/08.md

511 B

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kuongea na Musa.

walete hao wanawe

"walete wana wa Aruni"

kanzu

Hili lilikuwa kanzu lilo shoneshewa mchoro.

mshipi

kipande cha kitambaa watu wanacho vaa kwenye kiuno au kwenye kifua.

kofia

Kofia hii ni nyembamba, ya urembo ambayo mtu ni kitambaa mtu anacho vaa kichwani juu ya macho.

kwa kazi takatifu

"wajibu wa kuwa makuhani"

watakuwa na huo

Wajibu wa kuwa makuhani pia utakuwa na zao la wana wa Aruni.

amri ya milele

"sheria isiyo na mwisho"