sw_tn/exo/29/08.md

32 lines
511 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kuongea na Musa.
# walete hao wanawe
"walete wana wa Aruni"
# kanzu
Hili lilikuwa kanzu lilo shoneshewa mchoro.
# mshipi
kipande cha kitambaa watu wanacho vaa kwenye kiuno au kwenye kifua.
# kofia
Kofia hii ni nyembamba, ya urembo ambayo mtu ni kitambaa mtu anacho vaa kichwani juu ya macho.
# kwa kazi takatifu
"wajibu wa kuwa makuhani"
# watakuwa na huo
Wajibu wa kuwa makuhani pia utakuwa na zao la wana wa Aruni.
# amri ya milele
"sheria isiyo na mwisho"