sw_tn/exo/24/05.md

364 B

Musa allichukuwa nusu ya damu na kuweka kwenye mabeseni

Musa alikusanya nusu ya damu kwenye mabesini ili kuwanyunyuzia watu 24:7. Hii itawathibitishia watu ushiriki wao katika agano kati ya watu wa Israeli na Mungu.

alinyunyuzia nusu ingine kwenye madhabahu

Hapa madhabahu ya wakilisha Mungu. Hii itathibitisha ushiriki wa kati ya Mungu na watu wa Israeli.