|
# Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
Yahweh anaendelea kumwambia Musa sheria zake kwa watu wa Israeli.
|
|
|
|
# mazao
|
|
|
|
"chakula kutoka kwenye mimea"
|
|
|
|
# hakujalimwa
|
|
|
|
"hakujapaliliwa"
|
|
|
|
# ili kwamba maskini miongoni mwenu wale
|
|
|
|
Maskini wale chakula chochote kinacho ota chenyewe shamba lisilo paliliwa.
|