Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa sheria zake kwa watu wa Israeli.
mazao
"chakula kutoka kwenye mimea"
hakujalimwa
"hakujapaliliwa"
ili kwamba maskini miongoni mwenu wale
Maskini wale chakula chochote kinacho ota chenyewe shamba lisilo paliliwa.