sw_tn/exo/19/03.md

735 B

nyumba ya Yakobo

Neno "nyumba" hapa la wakilisha familia na uzao wa Yakobo.

nyumba ya Yakobo, watu wa Israeli

Neno "watu wa Israeli" ina eleza nini "nyumba ya Yakobo" ina maanisha.

Uliona

Neno "Uliona" hapa linawakilisha Waisraeli. Yahweh anamwambia Musa nini cha kuwaambia Waisraeli.

nilivyo kubeba kwa mabawa ya tai

Mungu anaongelea kujali watu wake wakati walipo safiri kana kwamba yeye alikuwa tai na kuwabeba kwa mabawa yake.

ukinisikiliza kwa utii

Utii yaweza andikwa kama kitenzi.

sauti yangu

Sauti ya Munguya wakilisha anachosema.

kushika agano langu

"fanya kile agano langu linataka mfanye"

mali yangu ya pekee

"hazina"

ufalme wa kikuhani

Mungu anaongelea watu wake kana kwamba ni makuhani.