forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
735 B
Markdown
36 lines
735 B
Markdown
|
# nyumba ya Yakobo
|
||
|
|
||
|
Neno "nyumba" hapa la wakilisha familia na uzao wa Yakobo.
|
||
|
|
||
|
# nyumba ya Yakobo, watu wa Israeli
|
||
|
|
||
|
Neno "watu wa Israeli" ina eleza nini "nyumba ya Yakobo" ina maanisha.
|
||
|
|
||
|
# Uliona
|
||
|
|
||
|
Neno "Uliona" hapa linawakilisha Waisraeli. Yahweh anamwambia Musa nini cha kuwaambia Waisraeli.
|
||
|
|
||
|
# nilivyo kubeba kwa mabawa ya tai
|
||
|
|
||
|
Mungu anaongelea kujali watu wake wakati walipo safiri kana kwamba yeye alikuwa tai na kuwabeba kwa mabawa yake.
|
||
|
|
||
|
# ukinisikiliza kwa utii
|
||
|
|
||
|
Utii yaweza andikwa kama kitenzi.
|
||
|
|
||
|
# sauti yangu
|
||
|
|
||
|
Sauti ya Munguya wakilisha anachosema.
|
||
|
|
||
|
# kushika agano langu
|
||
|
|
||
|
"fanya kile agano langu linataka mfanye"
|
||
|
|
||
|
# mali yangu ya pekee
|
||
|
|
||
|
"hazina"
|
||
|
|
||
|
# ufalme wa kikuhani
|
||
|
|
||
|
Mungu anaongelea watu wake kana kwamba ni makuhani.
|