forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
546 B
Markdown
24 lines
546 B
Markdown
# Hakika utajichosha
|
|
|
|
"utajifanya kuchoka sana"
|
|
|
|
# Huu mzigo ni mzito sana kwako
|
|
|
|
Yethro anazungumzia kazi ngumu Musa anayo fanya kana kwamba ni kazi ya mwili Musa alikuwa anabeba.
|
|
|
|
# ushauri
|
|
|
|
"mwongozo" au "maelekezo"
|
|
|
|
# Mungu ata kuwa na wew
|
|
|
|
Yethro anaongelea Mungu kumsaidia Musa kana kwamba Mungu ata kuwa na Musa.
|
|
|
|
# leta malumbano yao kwake
|
|
|
|
Yethro anaongelea Musa kumwambia Mungu kuhusu malumbano kana kwamba Musa ana leta malumbano yao kwa Mungu.
|
|
|
|
# Lazima uwafundishe njia yakutembea
|
|
|
|
Yethro anaongelea kuishi au kutenda kama kutembea.
|