forked from WA-Catalog/sw_tn
392 B
392 B
nitaondoa kumbukumbu ya Ameleki
Mungu anaongea kuharibu Ameleki kana kwamba anaondoa kumbukumbu ya watu kuhusu Ameleki. Wakati kundi la watu linapo haribiwa, hakuna cha kuwakumbusha watu kuhusu wao.
mkono ulinyanyuliwa juu
Watu waliinua mkono wao wakati walipo weka ahadi au deni.
mkono ulinyanyuliwa juu
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
Ameleki
Hii ya husu Waameleki.