forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
392 B
Markdown
16 lines
392 B
Markdown
|
# nitaondoa kumbukumbu ya Ameleki
|
||
|
|
||
|
Mungu anaongea kuharibu Ameleki kana kwamba anaondoa kumbukumbu ya watu kuhusu Ameleki. Wakati kundi la watu linapo haribiwa, hakuna cha kuwakumbusha watu kuhusu wao.
|
||
|
|
||
|
# mkono ulinyanyuliwa juu
|
||
|
|
||
|
Watu waliinua mkono wao wakati walipo weka ahadi au deni.
|
||
|
|
||
|
# mkono ulinyanyuliwa juu
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
|
||
|
|
||
|
# Ameleki
|
||
|
|
||
|
Hii ya husu Waameleki.
|