Israeli ilikuwa yashinda ... Ameleki alianza kushinda
Maneno "Israeli" na "Ameleki" wana wakilisha wapiganaji kutoka hizo sehemu.
Mikono ya Musa alipo kuwa mizito
Mwandishi ana andika mikono ya Musa kuchoka kana kwamba mikono yake imekuwa mizito.
kwa upanga
Upanga wawakilisha pambano.