forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
493 B
Markdown
20 lines
493 B
Markdown
# Sentensi Unganishi
|
|
|
|
Musa anaendelea kuimba kuhusu jinsi watu wa mataifa mengine watajisikia watakapo waona watu wa Mungu.
|
|
|
|
# Mshituko na hofu vitawaangukia
|
|
|
|
Haya maneno mawili yana maana hofu itakuja juu yao.
|
|
|
|
# hofu
|
|
|
|
Hofu ni uwoga au wasiwasi kuhusu kitu kinachoenda tokea au kilicho tokea.
|
|
|
|
# Kwasababu ya nguvu ya mkono wako
|
|
|
|
Mkono wa Mungu wa wakilisha uweza wake mkuu.
|
|
|
|
# watakuwa kimya kama jiwe
|
|
|
|
Maana zinazo wezekana ni 1) "Watakuwa tulivu kama jiwe" au 2) "Hawata sogea kama jiwe"
|