forked from WA-Catalog/sw_tn
897 B
897 B
Maelezo ya Jumla
Yahweh anaendelea kumwelekeza Musa wapi pa kwenda na nini Yahweh atafanya.
Nitaufanya moyo wa Farao mgumu
Hapa "moyo" wa husu Farao. Tabai yake ya kiburi inazungumziwa kama moyo wake ni mgumu.
yeye ata wakimbiza
"Farao ata wakimbiza Waisraeli"
Nitapata utukufu
"Watu watani heshimu"
Wamisri watajua mimi ni Yahweh
"Wamisri wataelewa kwamba mimi ni Yahweh, Mungu mmoja wa kweli"
Kisha Waisraeli wakaeka kambi kama walivyo elekezwa
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
Mfalme wa Misri alipo ambiwa
Hii yaweza andikwa katika tensi tendaji.
Mfalme wa Misri
Hii ya husu Farao.
wametoroka
"wamekimbia"
, nia ya Farao na watumishi wake ikageuka dhidi ya watu
Hapa neno "nia" ya husu tabia zao kwa Waisraeli.
Tumefanya nini kwa kuwaacha Waisraeli waende huru na wasitutumikie?
Waliuliza hili swali wakidhani kuwa wamefanya kitu cha kijinga.